Saturday 6 May 2023

The World eMojis - Mama Samia eDition by John A. M

The World eMojis - Mama Samia edition

The World eMojis Dedicated to Tanzania President kwa kuwa ni raisi alie ingia madarakani na kusindi kiza swahili land kwenye ulimwengu wa sayansi na technolojia.


The writer wa Emojis Book ambaye pia ni the owner of the Damaresi.com the swahili online ecommerce business ambaye ame dhamiria kuiingiza swahili land kwenye world online trade, ame sema kuwa malengo na madhumuni ya kumpa heshima hii ya kipekee, Raisi wa Tanzania kwenye miendeleza ya vitabu ambavyo ana seme amenuwia kuwa ata kuwa akivi release as many as he can, ame sema ni kwasababu Mama Samia S. Hassan ni mwana uchumi. Kitu ambacho Mr John ame ongelea kwa msisitizo na kusema kwenye Bara la Afrika na nchi nyingi za zinazo endelea zina kutana  na hii changamoto ya kuwa na viongozi wanao chukuwa madaraka kwa kuwa wanatokea kwenye chain ya uongozi au wana hela zaidi ya wengine

Aliongeza Bwana John kwa kusema ni tofauti sana na Mama Samia, ambae ni Raisi mwenye Elimu ya juu ya Uchumi na Maendeleo ya jamii na na pia ana merit certificates za vyuo vikubwa Nchini Tanzania na pia Uingereza Manchester Uni. Bila kusahau kuweka bayana kwamba ame pitia nguzo zote za uongozi, ngazi kwa ngazi miaka kwa miaka , kama King Charlie. Muheshiwa Samia hakutumia short cuts ili kufika  alipo, ingawa alikua na nafasi adventeges zote, bado haku acha kujiendeleza kwa masomo na kuijua nchi bara na visiwani. 

John A. M aliongeza kuwa kusoma Open Uni sio kazi rahisi, kwa mtu mzima mwenye familia, na pia kiongozi. John akiwa kama drop out wa OU ame sema , sawa kila mtu huacha chuo kwa sababu zake binafsi, lakini pia wanao enda mpaka mwisho wana enda kwa sababu nyingi tofauti tofauti haswa kwenye ulimwengu huu wa mitandao, just to create profile , na ku show off zaidi, kuliko elimu na kuchanganua junsi gani wata isaidia jamii yenye changamoto mbali mbali , haswa kwa nchi changa zenazo zongwa na  changamoto za uchumi, na maradhi, chakula , upungufu wa ajira na majanga shitukizi ya mara kwa mara yasio pingika.

Karibu mama samia kwenye ufunguzi wa Arusha eTailer Academy and the Damaresi Publishers, kwamaana tuna jisikia raha na furaha ya hali ya juu kuwa na kiongozi anae thamini elimu nan kujua maana yake , na haswa technilojia. - Alimaliza Mr Johnra.

Eariler kwenye hotuba ya Damaresians accross the golobal, John ali sema kwa msisitizo kuwa kuna safari nzito in wakabili timu nzima ya damaresi.com na Damaresi Tanzania ltd. Aliwashukuru wahitimu wa mafuzo ya kawali ya kujiunga damaresi, yanayo julika na kama Welcome To Damaresi. Masomo haya ya biashara ya mtandaoni yanayo waanda wana damaresi. Yana chukua wiki tisa za theory na practical, masomo haya yanayo ambatana na video, voice cakk, text email and links za online, yamekua ni nguzo kuu ya damaresi tokea 2016. John ana sema baada ya kukosa kozi ya online retailing at Open Uni, ilikua ni moja ya sababu ilio mfanya kuacha chuo 2014 na kuingia online straigh ,a kuizindua damaresi.com 2016 january. Since then it have been a roller coster, watu wasio elewa maana ya mtandao wame pita kwenye open classes na open offices za John and Damaresi.com mpaka ina katisha tamaa.

Ila experience hiyo ilio anzia kwenye darasa la watoto , na kufata kwa watu wazima kuona sasa watu wana weza kufata lectures a to z na kufanikisha shughuli za damareshi kusimama. Ndio kitu kilicho mpa moyo John na kuanza kuandika guid books mbali mbli za biashara na biashar za mtandaoni, na juzi mbali mbli, Alisisitiza kuwa swahili internet is empty, and META IS NOT INTERNET kama waswahili wengi wanavyo zania, na kusema darasa lime anza kwanza on eMojis, Lugha nyepesi, tukisha weza kuelewana kwa lugha wanayo itumia kwenye udaku na mambo yasio yakujenga sehemu za kujenga, then tutaweza kuanza kuelewana. 

Kwamaana nikero kabisa kwenye eMojiz zinavyo tumika duniani, John alisisitua kuwa mnamo 2022 alipo alipo anza kuandika eBook ya emojis , hakuwa na elimu yo yote ya uandishi, ila kwa jisi alivyo zitumia kwa over 7 years , mafanikio alio yaona na urahisishaji wa kazi . na kutest with Damnaresians. Aligundua kiuan potential, on this fastest growing language on online lifestyle.

By the time King Charlie ana launch his King Emo, ndipo john alipo hitimisha kuwa yess. this is a right thing am doing alisema.

Kama higher person, rich and well respected in the whole whorld ame ona nacho kiona na kuacha badala ya kuwekeza kwenye space ship, au war jets and marine war ships or lauching a software on an inddustry of any technology and or device, lakini King Of Unitetd KingDom ame choose to invest less than a  1 dollar, lest than a £1 less than Tsh 3,333 kwenye eMoji na kusema kwamba ana iinginza British Roya Family kwenye ulimwengu wa internet kwa style hii- Kwa EMOJ MOJA TU. now waswahili kaeni mkao wa kunena kiemoji, maana i got milions and milions of eMojis,Tags and words plus numbers which am about to reavies to you. while you am trying to share with you little by littlte what i know about online business - products and services, ili zirahisishe maisha nyenu yakila siku, kuwapa bururani, kuwapunguzia stress, kuokoa vifo  vinavyo kingika na kuweka chakula mezani just kwa kuanzika KWA KISWAHI. we dont need engilish, french , germany or portugiese to teach one another and to serve the world this our beautiful products and services

Karibu King Charlie and Queen Camilla
Karibu Mama Samia S. Hassan

Its Me 
King of Emojis
King Bidder

John A. M
Founder & Owner
Damaresi.com CEO

33:33 A. M  -  07.05.2023 
Seen & Approved By Team Damaresi 

King of eMojis - coronation edition May 2023


Coronation eDition was released on 06.05.2023

Emojis communications is the fastest growing language on online community, as all official tools are moving toward handset devices, even personal computers and all websites are adding emojis on there typing keys. But there is one problem they most of us are using just same few over and over until they don’t mean a thing. 

like any language , it need to grow, branch out, used in different places and for different reasons in deferent fields and correctly, unless otherwise. will sound like babelian tower builders and Nairobi slangs, let alone Londoners and american slangs.


The world has got new swaga, the hustlers now they wonder on streets no more. They have all become smart phone-farmers, straight from their comfy of their home they got dreams of making money like bank tellers.  They have become serial entrepreneurs, call them selves innovators and CEO plus Founders. Yes you are right , it is just like DOT- COM BUBBLE. no future no strategies and one big problem in common of these social media dreamer is is communication skills.

The don’t know how to interact effortlessly with their stake holders, they are all on rush, off-course they don’t have a clue about customer relation’s, sales or marketing, this i what make them lose valuable time and investment of devices and airtime.

It doesn’t mean there is a big problem with them, no age isn’t a problem, experience might be an obstacle, but may be a bit of mentoring might help. Still it wont work if they all expecting a mentor to show up with latest brand new vehicle, and  is on 8 figure salary. They wont even care kwamba if you got that amount of wealth, why will you waste your time with them.

The point is they all luck a communications skill, it put them on very bad angle. every one they try to contact sees them as scammers, they get blocked. It is not bad to them because they will just move on to the next victim, they cant even ask them selves why they lost a first bunch of supposed to be customers.


The two editions and many more to come will be the best friend and first step to talk in second , and say what you mean, and attract and display some characteristic of trust trust and professionalism. products owners will make a move toward you and start that conversation, and their customers will thank you for the connection.

we all want good this, plus that a bit of cash and whatever cash bring

Get your copy and stay connect with the other, as this is just a beginning.

The world is speaking emojically why not you with your business.
talk less earn more, enjoy the beauty of art.

Many Thank to Mama Samia an King Charile III
The real leaders who inspire me to release these 2 eBooks before the finale finito stage.

Karibu Swahili Land

Thursday 27 April 2023

Damaresi is Tanzanian - UK Swahili Land online supermarket and marketplace to the world..

The Swahili online supermarket and marketplace til world ends.

Waswahili wameingia kwenye ulimwengu wa mtandao kwa kishindo  kikubwa. Mwasisi wa Dmaresi.com ameyasema haya bila kuficha kuwa lengo lake ni dunia kujua kuwa, if they won’invest on online and offline infrastructures, basi wasiumize kichwa maana, we ‘have done it’, alisisitiza.

Mr John akiongea nami kwa kujiamini katika kikao chetu kilichofanyika online akiwa makao makuu ya Damaresi.com nchini England Uingereza, He emphasized that online business is not risky venture ; it has strategies and formulas, but ultimately ,any one from anywhere  in the world  can access it and  share it with others,He mentioned that he has been pioneering for over ten years kwa nia ya kuleta mwamko kwa wawekezaji na wafanyabiashara kutoka pande zote za dunia , to know that, there is big market in swahili land, of over 475 million people whom are not in the jungle, forest or in the droughts and dusted deserts you see on televisions every day.

These big spenders and classic brand lovers they drove Mercedes Benz, they got Rolls Royce and they don’afraid to spend 70% of their annual income on luxuries, as they do have good connections with neighbors and family members and farmer and fisher man or they can just pick up phone and ask papa or grandmother to send them 30 kilo of rice, 10 kilo of beans and live chickens for eggs and meats from the village na waweze kuendelea kula maisha.


we are talking about people who purchase the newest iPhones with cash, without any contracts or leasing agreements, there is no lease car companies in Swahili land they buy with cash , no car loan available from banks  and they also do not offer any favorable financing options, so they build houses from scratch to the bungalows or mansion. They got two houses, one in town and another one in the village where they come from, they feel shame to have visitor from town on madly house during funerals. 

The weather is good, the seasons are well known, now surprises every one is well organized and best thing is that, they got back up, even wife has back up partner just in case the one on thrown goes bonkers, just like having spare tire at the back of the car. They got plan on house maid, gardener and handy man. always wonder what will stop Swahili parson from spending money. 

Swahili people are the only people on planet earth they shop till the run out of taxi money. Offer driver some drinks as to level things up. Or driver will wait outside until morning when the passenger went in to grab some cash for the ride.

will take Damaresi years of pioneering, three years of business and three years of expansion. So if you want that piece of cake, the time is now. As one we are on move we won’turn back. No one want Sodom and Gomora story on 21st century  tech world.

We are where we are, we hot online website and in1 application for vendors and customers. We could not do home deliver by donkey so we got an application for motorbikes as roads are still challenge on most of towns and villages. It couldn’be fair to setup all these platform without giving huge salute to entertainers of Swahili land musicians and actors, so we honor them with big salute by giving them two streaming services platforms, we got Damaresi Music and Tanzanite on going online TV program. 
 
Now what Swahili want is popcorn and real tasty ford and drink, delivered at their doorsteps, they want those Gucci and Dior, Fubu, Nike and Tommy, Oakley and RayBan, spy cots and skin tights, medication and beauty, fitness and educational documentaries, eBooks on Damaresi Kind of and soo much more.

There is bit of problem though, Swahili people they like to trade with people whom they trust, they love chit chat bit before making decision, if you can master that it doesn’matter what happen after sale. But don't think you can sell bull dung, the word of mouth and Sosho media will be trending with laughter's and jokes while you are busy shipping containers of your dung.

Solution to that is to be real, they hate viruses, they don’trust Nigerian , Russians and links. so you must be who you say you are, and make sure the links on your site wide, with clear message of what will happen if you do what it say. Don’for get to CLICK HERE it will take you to our online Swahili amazon

We want the best products food and clothes to flood on Swahili streets so the cost can go low, and products can reach to impossible villages. Its online business, you don’need to move to Africa to run your business or to make an investment. Swahili people will do what is best for their people, Swahili will serve Swahili, and their friends from around the world will do the same, you just need to be serious and put people first, not profit first and ignore the side effects and future generation of Swahili people. won’stay put unless you put me down like dog.


They sometimes call me John Meja, even though I only got three stars.
 
Approved by Lilian - Damaresi.com No.27042023

The Best Swahili eCommerce Articles an economy facts.

 These are my findings from Africa, music website and application. I went there for Swahili-Only music and come back with more i thought will be good to share with online experts, happy reading. https://music.damaresi.com/blogs






Click Picture or link below to read article free at damaresi.com




Click Picture or link below to read article free at damaresi.com



Click Picture or link below to read article free at damaresi.com



Click Picture or link below to read article free at damaresi.com

Click Picture or link below to read article free at damaresi.com


Karibu swahili land and enjoy the reading share and comment if you as we dont accept likes hahaa.


The Big 5 eConomy - BRICs - Brazil, Russia, India, China and Swahili

 Karibu  to the one of the World Big 5 eConomy.

BRICs - Brazil, Russia, India, China and my Swahili.
We the Swahili, our contribution on world economy is not to be under estimated.
As we move on online businesses in 21st century Tech world. I brought My Swahili people with me..
We main talk about things like online shopping and services, like entertainments and home delivery service. Put the rest in the middle as we gonna cover a2z of the 470 millions plus of Swahili people and their friends worldwide. 

If you are a business person in Tanzania, it is the best time to start expanding your business by opening an online extension, an extended shop of yours online, an online store, the virtual fremu of your shop au duka la mtandaoni kwa bidhaa zako. 

Other East African and central community plus the rest 14 Swahili speaking nations, you can enjoy our world wide delivery of softcopies, downloadable and streaming products like music from DamaresiMusic.com the Swahili-Only music platform, and eBooks plus films like Tanzanite Tamthia ongoing one new one ever Saturday. Home deliva for tangible products will follow ASAP

Back to where we started , the Tanzanian home delivery service for tangible , any delivery product we Damaresi.com sells, look for their Damaresi Online Supermarket and marketplace production list.

 It will take a bit of time to get used to the Damaresi.com and Damresi Shopping applications , kama ilivyo kuchukua muda mdogo / au mkubwa kuweza kuijua simu au pc zetu, na pia kama ilivyo kuchukua muda kidogo kuijua FB, IG au whatsApp application zetu.

Sisemi ni rahisi, na pia sio ngumu kama ndio kitu una taka kufanya na una penda fanya. 

Mpaka leo kuna mamia ya vitu kwenye simu yangu siyajui, mpaka kesho sio fun wa story za META au reel na live charts au other effects zinazo kuja na platform.

But ukiniuliza juu free tools za ku edit picture na kuandikia captions au kuweka emojis na gif na ku squeeze and screenshot put music and post or links, i am The expert on this. 

The groups inside DMs FB and IG i am expert too.

The point is, we do need to read instructions, manual books and learn get  to know new things or tools or products until we used  them to the maximum benefits sio kona kona and shortcuts.

Damaresi is a platform sellers and buyers, wauzaji na wanunuzi, businesses owners and shoppers to exchange products and or with money, they told me it is called it business.

They are will work with you day in day out and help you set up your shop to the alibaba level or amazon level, they will make sure you are connected for payments, either bank account or mobile wallet , or mobile virtual Mastercard /visa card bank cart equivalent. They will make sure you can and your shop is setup well for the best display of your goods,  with useful descriptions.

They will do the online offline marketing for you and deliver the products for you at homes of your loyal customers you have generate from damaresi.com and applications.

They are the only swahili land online supermarket and market place. They do  welcome other businesses and products owners or services from outside swahili land and overseas to join the movement and make the swahili lives easier, better, luxury,  and cheaper.

If you are musician and your music got one word of swahili, why dont you upload on the world only african music platform, music.damaresi.com

Karibu Nyumbani.
Karibu Africa
Karibu sana

Safari Na Muziki.





John Names
Damaresi Friend
Damaresi.com

Thursday 18 August 2016

Damaresi Music Page..free Mp3 streaming only august 2016

At damaresi dot com is where KamaKazi Free music is available.. stream only. for  friends and friends of their friends. enjoy 33 songs but infuct one song is on hold for more clarity..trabal wars never end.. any way. i hope guys you will enjoy KingBida aka Bidder invention on game. the way he drop deadly weapons on streets to a level he call it Pain. it is a very round up longest album to make compare to The Bad View. Bad view is as it say, Views, my last few secs only. It is made on hi speed than the upcomeing of the New Empire and Power of writing which John choose to dedicate this to his Lover.. well it is fun out there, but when you got to nail something down you got to do it. , Summer like this of twenty 16 is The Big summer. 

Photo editing is the best sport i have ever never stop doing. i love my photos. i do try to get them ..that center well balanced. here at damaresi and the MandelazPro studio we drop things in high quality, we use the same software simple ones, but what needed is a keen key to detail eye which is what john got.

Friday 17 June 2016

The Best of KingBida - 2016 MixTape

King Bida has welcome all his fun on his upcoming album. He has release a 33 songs, all as raw material for his KamaKazi album. Mbali yakuwa kingBida ame amua kuachia the Make of KamiKaze  album hewani, pia ame tumia deep thoughts to involve his friends and his fun katika zoezi lizima la kuwakilisha tungo- Hizi Tata, za mwana muziki machachari, anae heshimika kwa mchango wake mkubwa katika ku promoti lugha ya kiswahili duniani, kwa kutumia misemo mikali mikali na audio na pia maandishi katika shughuli zake za kila siku, iwe online ama off line.

The Best of KingBioda is not just a musical album, it is also ERA which King|Bida is going thrue, hivyo usitegemee muziki peke yake, bali kuangalia The Real Hip-Hop life style ya John Mrecha aka Bidder. Album 5 zinategemewa kuwa hewani ndani ya miaka kumi- ali ongea kwa ukali KB. Akisema kwa jazba kuwa'' nimesha poteza miaka 38 ya maisha yamgu katika kuijenga Empire, hivyo kuipa miaka kumi ya ziada sio kitu cha ajabu'' alimaliza na kusema , kama mungu atapoenda - kb yupo tayari kujinyofoa kutoka kwenye real Hip-Hop na kuzama ndani zaidi, kunako Deaap Hip-Hop. alisema Kamakazi, Bad,view and Power of writing with New Empire are just Tha Biggining of MandelaZ Move ment. The exactly era 2025 to 2035 will be the fun, enjoyable and the bringer of Real African Hip-hop .. as he call this era to be Kings and Queens ara.

Kaeni mkao wakula waswahili wote , marafiki zenu na hata maadui zenu . natumai they will love www.damaresi.com efforts za kumuweka kingbida kwenye frontpage za waswahili popote pale ulimwenguni. Bila kusahau shughuli za kuumeni zilizo fanywa na crew zima la The MandelaZ Pro 2016.

A lot to com, hamjaona bado music inayo tibu, onya, na kuponza. KB ataweka haya yote ndani ka decade hii ngumu ya uchuuzi katika safari na muziki.

For more info about any thing above or out of any John Mrecha social and official net work dont hesitate to contact Him direct or just leave a comment .

KingBida
King Of Swa-Land
AS0170620160
OU only
https://www.facebook.com/KingBidder.MusicIf you like Kiswahili and English Real African Hip-Hop press here http://www.damaresi.com/Damaresi-Music.php 33 songs all free stream only..no download link..which means no virus..simple.